ENG.KUNDO ASHIRIKI KWENYE SHEREHE YA JIMBO JIPYA NA KUSIMIKWA ASKOFU WA KWANZA JIMBO KATOLIKI BARIADI





Naibu waziri wa Maji,Mhe.Mhandisi kundo Andrea Mathew.Mbunge wa Jimbo la Bariadi Mjini ameshiriki katika sherehe Za Uzinduzi wa Jimbo Jipya sherehe hiyo imekwenda sanjari na kusimikwa kwa Askofu Wa kwanza Wa Jimbo Katoliki Bariadi.

Muhasham Prosper Bartazal Lyimo 19 March 2026.











ENG.KUNDO MBUNGE WA JIMBO LA BARIADI.

Aidha, Mhe. Kundo amemshukru  Papa Leo XIV kwa kukubali Kuanzisha kwa jimbo jipya  katoliki Bariadi na kumsimika Askofu wa Kwanza wa jimbo katoliki la Bariadi, Mhashamu Prosper Baltazar Lyimo kwa lengo la kusogeza huduma za kiroho kwa wananchi wa Mkoa wa Simiyu na kuleta mwanga wa Imani, tumaini na upendo kwa wote.

FLORA MASALU .SHINYANGA

Post a Comment

0 Comments